WAZO LA MUNGU

Bwana asema hivi "Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu; mtanijengea nyumbnamna gani? Na mahali pangu pa kupumzikia ni mahali gani?
Maana mkono wangu ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi vyote vikapata kutokea, asema Bwana; lakini mtu huyu ndiye nitakayemwangalia, mtu aliye mnyonge, mwenye roho iliyopondeka, atetemekaye asikiapo neno langu.
Yeye achinjaye ng'ombe ni kama yeye amwuaye mtu; na yeye atoaye dhabihu ya mwana-kondoo ni kama yeye avunjaye shingo ya mbwa; na yeye atoaye matoleo ni kama yeye atoaye damu ya nguruwe; na yeye afukizaye uvumba ni kama yeye abarikiye sanamu; naam, wamezichagua njia zao wenyewe, na nafsi zao zafurahia machukizo yao."
                                                                                                                                         Isaya 66-1- 3
 NB;
katika wazo la Mungu kuna ujasiri ,Katika wazo la Mungu kuna uwezesho
ili uweze kutembea katika wazo la Mungu lazima ukubali  kutembea katika utakatifu
Lazima uonyeshe wazo la Mungu katika maisha yako tena kwa matendo ndipo utakapo weza kuonyesha umuhimu katika wokovu wako.
Utakatifu niwazo Mungu aliwaza
Ukitembea na mng’ao dhambi haita kuweza 
Huu nimwaka wa kung’aa onyesha kuwa umekubali kutembea katika  utakatifu wa Mungu..
Mungu kila siku ana tuwazia mawazo mema
Kama wazo lakimungu limepitishwa kwa mazabau ya Efatha ni  mwaka wakung’aa
Akunachochote kitakachoweza kukuzuia wewe using’ae ila niwewe mwenyewe
Mtu yoyote ambae sio muombaji wazo lamungu halipo ndani yake 
 

Share this