MCH RICKY MONGI |
MCH RICK MONGI
SOMO :NGUVU YA UPENDO INAVYOWEZA KUFANIKISHA MAISHA YAKO YA KIMWILI NA KIROHO
Nguvu hii ni mojawapo ya nguvu
ambayo huleta matokeo mazuri na hutenda kazi katika ulimwengu wa Roho ,nguvu
hii inasababisha huruma ambayo humsukuma mtu kushikamana na kuambatana na wenye uhitaji
na ina mfanya mtu kumpenda mtu hatakama amekufanyia mabaya haijalishi
amekufanyia nini
nguvu hii ikitenda kazi na hao
inasababisha msamahaa kutokea na inazuia nguvu ya dhambi
mwenye hiyo nguvu ya upendo akiwepo mahali
anasababisha watu kupokea msamaha na huruma ya Mungu, mtu mwenye hii nguvu ya
pendo akiingia kwenye nyumba ya mtu inafanya hatakama watu hao walikuwa haawaelewani
wana patana
upendo ndio unaaongeza kiwango
cha upako kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine ,yesu alikuwa na upako usio na kikomo kwasababu alimpenda mungu kuliko
upeo
mungu anapotaka kumpa mtu cheo au
upako , maono , ufunuo wa kutenda miujiza na ishara anmtafuta mwenye upendo
,ukiona umepandishwa cheo basi ndani yako kuna upendo (yohana 3:16)
kukosa nguvu hii ni dalili kwamba
haupo karibu na mungu kwa sababu yeye ni asili ya huo upendo , kama hauna huo
upendo ni dalili kwamba haupo na Mungu ,nguvu ya upendo huondoa hofu ndani ya
mtu , mtu mwenye hofu hajakamilika
katika huo upendo
1 yohana 4:18 – katika pendo
hamna hofu lakini pendo lililo kamili
huitupa nje hofu kwamaana hofu ina adhabu na mwenye hofu hakukamilishwa katika pendo
1 yohana 4:16-17
Kanisa ni mwili wa kristo ,Kanisa
likiwa na upendo linakaa ndani ya mungu maana mungu anakaa ndani yake ,
mwanadamu kwa asili ameumbwa na upendo kwakuwa tumeumbwa kwa sura na mfano wa
mungu
1 Korinto 12:26 – na kiungo
kimoja kikiumia viungo vyote huumia nacho, na kiungo kimoja kikitukuzwa viungo
hufurahi pamoja nacho
Nini kwa kani sa , kanisa ni
mwili wa kristo tena huo mwiliuna viungo kila mtu ndani ya kanisa n kiungo
kaktika huomwili wa kristo
Rumi 12:4-21
Usishindwe na ubaya bali ushinde
ubaya kwa wema na mpendane ninyi kwa
ninyi
v Huwezi
ukampenda MUNGU ikiwa ndugu yako humpendi ambaye nikiungo cha mwili wa kristo
1 Yohana 4:20 -21 ,3:15
Kama unataka kutembea na mungu
dumisha upendo, msiwe wanafiki
Nguvu ya upendo ktk kanisa
inapelekea bwana kuongeza kanisa na kufanya kanisa kukua
MDO 2:42-47
kama unataka kupona usimshikirie
mtu