SIKU YA TATU



SIKU YA TATU YA SEMINA
(KIPINDI CHA VIONGOZI)
MT.MICHAEL KABALILA KUTOKA EFATHA MWENGE
SOMO:KAZI
KITABU;MITHALI 4:7
MUNGU NA TASISI,Yeyote ina kanuni yake. wasio tenda katika kanuni hawafanikiwi
Mithali 4;7
Kanuni ya mapato ni kulejesha baadhi ya faida kwa jamii
Tasisi lazima iwajibike kwa watu wake.
Mtu au tasisi yeyote inayo lejesha fadhila au faida kwa jamii huendelea sana
Mfano;tasisi inayo somesha

Nikanuni ya mungu kulejesha faida asilimia fulani  
Muhubili.9;10a
kama una jukumu lolote Tenda kazi kwa nguvu zote. Kazi zinaharibika kwa kufanya kwa ulegevu. & tumia uwezo wako wako wote. Pasiwepo wa kuku lalamikia
2timotheo.2;6
kwamfano unapo mwambia roho mtakatifu akukumbushe uwe unajua unayo azina yako maana yeye atakukumbusha kutoka katika azina yako
Muhubili 12;14
Mungu huhukumu kila kazi iwa mbaya au nzuli


Rumi.13;1-8
Kutii mamraka iliyo kuu kwamaana zimewekwa na mungu mwenyewe. Lazima niheshimu kile alicho nacho kiongozi wangu . natakiwa kuwa nahekima katika kutatua matatizo
Kila tasisi zina haki ya kishelia na mamlaka zake, kila mtu lazima atii, usipo tii umeiasi tasisi hiyo ndipo una hukumiwa
Katika tasisi yeyote tenda kazi kwa hofu na kutetemeka na wanao sitahili heshima na umuheshimu na wape wengine haki zao
Kwa kadri Utakavyo heshimu wengine ndivyo utakavyo heshimiwa
Kwakadri unavyo ficha tatizo ndivyo tatizo rinavyo zidi kuwa kubwazaizi
Malaki.2;7
Ukitaka kudai heshima uwe na heshima
1wafalme.10;
Malaki.2;3
·         Usipo fanya maandalizi ya kukaana wa kuu huwezi kukaana wakuu
1wakortho. 9;2-3
·         hudumia watumishi wa mungu ili ubarikiwe.
·         unatakiwa kufanya mambo yote kwaajili ya kiristp
·         unatakiwa ukisikia jambo jema ritafute kwa galama zote. Kama vile markia wa shiba arpo fanya .i:wafalme.10;
·         Markia alipo ona hekima ya sulemani nyuma aliyo ijenga na chakula chakula cha mezani ambacho watumishi wake wameandaa,watumishi wake walivyo kaa,kusimamia,walivyo jenga,walivyo vaa,wanyweshaji wake, na madaraja yake roho akisimia
·         acha na ligha ambayo siyo ya kifalme ongea lugha ya kifalme
Mwanzo.45;1-8
·         Kuwa na mtazamo chanya, ussiangalie vile umetendewa angalia na zingatia unataka kuteanda jema lipi kwa watu na MUNGU
Luka.12;35-48
·         Kadri unavyo hudumia watumishi wa mungu ndivyo unavyo zidi kubalikiwa. N/B.eneo nilipo niwe matokeo ya ubora  nilio nao katika kristo yesu
·         kama umetumwa au kiongozi usijilinganishe na watu wengine.  na nitende katika waminifu na ukamilifu kama yesu alivyo alivyo maliza kazi yake
·         Yapasa kuwa na juhudi ya kweli katika utendaji wa kazi,na umudu mazingila ya kazi hiyo ndipo unaongezewa mafuta zaidi na kuhudumia kundi kubwa zaidi
2timotheo.2;5-7
Mwanzo.41;33
Kanisa lazima iandae vijana lisipo andaa vijana jamii itaandaa. Kijana anapo taka kuowa hatafutiwi mke
Mama pekee yake ndiye anaweza kutoa mama mwingine. Kwaruga nyine mama ndiye anamjenga dada kuwa mama
Kama huja zaliwa na sifa zakuwa mama(baba) lazimaa ujengwe kuwa mama (baba













Share this