SIKU YA PILI
Muendelezo wa siku iliyopita.....

FAMILIA KAMA LANGO
Yakobo badala ya kuwabariki watoto wake alianza kuachilia laana kwao,
Mwanzo 49:5
Maisha ya Isaka yalivyokuwa
Mwanzo 26:8-10
8.  Ikawaalipokuwaamekaahukosikunyingi, Abimeleki, mfalmewaWafilisti, akachunguliadirishani, akamwonaIsakaanacheza-chezanaRebekamkewe.
9.  AbimelekiakamwitaIsaka, akasema, Yakinihuyunimkeo, mbonaulisema, Ni nduguyanguhuyu? Isakaakamwambia,Kwasababunalisema, Nisifekwaajiliyake.

10.       Abimelekiakasema, Ni ninihiiuliyotutendea?    Labdamtummojawapoangalilalanamkeobilakufikiri, naweungalitutiahatiani.
  • Maombiyamumenamkehujibiwaharaka
  • Leo wokovuutaingiakwako,kama vile YesualivyomwambiaZakayoalipomwonajuuyamkuyu.
Isaka, yakobonawaliofuatawotewalikuwakiunonimwaIbrahimu, kwahiyomahusianoyaIbrahimunaMunguyanakujakutembeakatikawotewatakaozaliwakatikakiuno cha Irahimunyuma, laanaikitokea pia inakujakuwapitiawote.
  •  Laanamaanayakenikuua, nakamanikuuamaanayakehutegemeichochotechemakutokakwenyekilicholaaniwa!!! Ukiwakatikaukoouliolaaniwamaanayakeumekufa.
  • Uzimaunatokandaniyamtunalaana pia vivyohivyo, ndiyomaanawengiwanahangaikanalaanazawazindiyomaanautawakutawanaishimaishayaajabutu, kuumwakilawakatinamwishowasikuwanakujakulaaniuzaowao pia. Kama ilivyokuwakwaYakobo.
Mwanzo 27:1 nakuendelea
1.     IkawaIsakaalipokuwamzee, na macho yakeyamepofukaasione, akamwita Esau, mwanawemkubwa, akamwambia, Mwanangu. Nayeakamwitikia, Mimi hapa.
2.     Akasema, Tazama, sasamiminimekuwamzee, walasijuisikuyakufakwangu.
3.     Basi, nakuomba, chukuamatayako, podolakonaupindewako, ukaendenyikaniuniwindiemawindo;
4.     ukanifanyiechakulakitamunamnaileniipendayo, ukaniletee, ilinile; narohoyanguikubariki, kablasijafa.
5.     Na Rebekaakasikia, Isakaaliposemana Esau mwanawe. Basi Esau akaendanyikaniawindemawindo, ayalete.
6.     RebekaakamwambiaYakobomwanawe, akisema, Angalia, nimemsikia baba yakoakisemana Esau, nduguyako, akinena,
7.     Nileteemawindo, ukanifanyiechakulakitamuilinile, nakukubarikimbeleza Bwana kablayakufakwangu.
8.     Basi, mwanangu, sikilizasautiyangukamanitakavyokuagiza.
9.     Enendasasakundiniukanitwaliewana-mbuziwawiliwaliowema, naminitawafanyachakulakitamukwa baba yako, namnaileaipendayo.
10.   Kishautampelekea baba yako, apatekula, iliakubarikikablayakufakwake.
§  Haya yalitokeakwasababutayarihukonyumalaanailishatolewakwauzaowaIbrahimuyakuwamkubwaatamtumikiamdogo.Ukiendeleakusomamsatariwa 33 tunaonabaadayaYakobokubarikiwanakuondokaakaja Esau, nayeIsakaakasemaameshambarikiYakobonayeatabarikiwaikimaanishabarakaikitokahukabidhiwayotekwaaliyebarikiwanamamlakayakutenguainakuwahaipotena.
Mwanzo 30:27,29na 30
  • Hapatunaonaasiliyamtuinamfanyakuwamahalinakuruhusu mambo yaasiliyakekufanyika. Mfano, kiongoziyeyotemwenyeasiliyamafanikiohusababishamafanikiokatikaeneoanaloliongoza.
  •  Hapa pia tunapatakujifunzakwambaukikoseakukaakatikanafasisahihihutaziona Baraka namaongezekoyatakuwakinyumenawewe.
Mwanzo 26:12
Isakaakapandambegukatikanchiile, akapatamwakaulevipimomiakwakimoja, Bwana akambariki.” Ni kwasababualikuwamahalisahihi.
Lengonakusudila Mungukwamwandamu(mtu)ni Baraka nasiolaana, Mwanzo 1:27-28
27.   Munguakaumbamtukwamfano wake, kwamfanowaMungualimwumba, mwanamumenamwanamkealiwaumba.
28.   Munguakawabarikia, Munguakawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijazenchi, nakuitiisha; mkatawalesamakiwabaharini, nandegewaangani, nakilakiumbechenyeuhaikiendachojuuyanchi.
Kanuniyakuachilia Baraka kwavizazivijavyoniyaMungu, nandivyowazaziwanavyotakiwakufanyakwawatotowaoiliwawena Baraka nasiyomaumivuiliikifikamudanawaokuwabarikiwanaowafanyesawasawanampangobuowaMungu.

Share this