Bwana asema hivi "Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni
mahali pa kuweka miguu yangu; mtanijengea nyumbnamna gani? Na mahali pangu
pa kupumzikia ni mahali gani?
Maana mkono wangu ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi vyote
vikapata kutokea, asema Bwana; lakini mtu huyu ndiye nitakayemwangalia, mtu
aliye mnyonge, mwenye roho iliyopondeka, atetemekaye asikiapo neno langu.
Yeye achinjaye
ng'ombe ni kama yeye amwuaye mtu; na yeye atoaye dhabihu ya mwana-kondoo ni
kama yeye avunjaye shingo ya mbwa; na yeye atoaye matoleo ni kama yeye atoaye
damu ya nguruwe; na yeye afukizaye uvumba ni kama yeye abarikiye sanamu; naam,
wamezichagua njia zao wenyewe, na nafsi zao zafurahia machukizo yao."
Isaya 66-1-
3
NB;
katika wazo la Mungu
kuna ujasiri ,Katika wazo la Mungu kuna uwezesho
ili uweze kutembea katika
wazo la Mungu lazima ukubali kutembea
katika utakatifu
Lazima uonyeshe wazo
la Mungu katika maisha yako tena kwa matendo ndipo utakapo weza kuonyesha
umuhimu katika wokovu wako.
Utakatifu niwazo Mungu
aliwaza
Ukitembea na mng’ao
dhambi haita kuweza
Huu nimwaka wa
kung’aa onyesha kuwa umekubali kutembea katika
utakatifu wa Mungu..
Mungu kila siku ana
tuwazia mawazo mema
Kama wazo lakimungu
limepitishwa kwa mazabau ya Efatha ni mwaka wakung’aa
Akunachochote kitakachoweza
kukuzuia wewe using’ae ila niwewe mwenyewe
Mtu yoyote ambae sio
muombaji wazo lamungu halipo ndani yake