SIKU YA TATU
SIKU YA TATU YA SEMINA
(KIPINDI CHA VIONGOZI)
MT.MICHAEL KABALILA KUTOKA EFATHA
MWENGE
SOMO:KAZI
MUNGU NA TASISI,Yeyote ina kanuni
yake. wasio tenda katika kanuni hawafanikiwi
Mithali 4;7
Kanuni ya mapato ni kulejesha baadhi
ya faida kwa jamii
Tasisi lazima iwajibike kwa watu
wake.
Mtu au tasisi yeyote inayo lejesha
fadhila au faida kwa jamii huendelea sana
Mfano;tasisi inayo somesha